Video Library
Mwito wa Mchungaji kwa kanisa ni; Kukuchunga na kukujenga uwe mkristo Imara mwenye Mahusiano binafsi na Mungu ama kuwa na ukaribu na Mungu ya kwamba Mungu anayemjua Mchungaji wako uweze kumjua ikiwezekana zaidi ya viwango vyake (vyangu) na hivyo ukishamjua Mungu na kuwa na mahusiano ya karibu hakika atakusaidia kibinafsi. Mkristo asiye na mahusiano na Mungu akipata makwazo hawezi mtegemea Mungu na ataanguka; Mchungaji hupenda wakristo wasiweke Tumaini kwake bali waamini katika kumtegemea Mungu na wawe nae kikamilifu nae atajifunua katika maisha yao.
Pastor Stephen F. Mhina Family
Kuwategemeza Watumishi
Tag Shekina - December 2023
Pastor Stephen F. Mhina Family
Kuwategemeza Watumishi
Tag Shekina - December 2023
Bishop Benson Idahosa
Unconventional Man of God on earth
Nigeria Father of Faith
Mchungaji Stephen Anaamini kwamba, Mkristo akishafundishwa juu ya Imani ya Mungu wa kweli, ataweza kujitegemea na kumuuishi Mungu ambapo hatimaye ataishi na Mungu; Hivyo basi itasababiha Ibada zetu ziwe na nguvu za Mungu kufanya mabadiriko chanya ya kimaendeleo; Hapa ndipo ndipo tutaweza kufanikiwa kuhubiri Injili duniani yenye mafanikio. "Marko 16:15-16 Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
Tag Shekinah Church
Shekinah Intercessory Temple