• We are Located near Skanda Secondary School, Mwinyi Street - Tabora

Ijue Idara ya Maombi TAG


Idara ya Maombi Kitaifa ilianzishwa Rasmi mwezi septemba mwaka 2021, wakati wa uongozi wa askofu Mkuu Dr. Rev. Barnabas Mtokambali, kutokana na Lengo Mkakati (A2) la Miaka 13 ya Moto wa Uamsho, Unatoa ufafanuzi kwamba idara ya Maombi imeanzishwa na Viongozi wa Idara wamepatikana. Lengo Kuu la Idara hii ni kuona kanisa lote tumeshika silaha hii kubwa ya Maombi ambayo ndio itakua Kichocheo kikubwa cha kusababisha uamsho wa kweli utokee.

MaonoKuwa kanisa la waombaji wasiokoma na kusababisha mlipuko na udhihirisho wa utendaji wa Roho Mtakatifu

MakusudiKuhakikisha maombi yanasababisha uamsho Mkubwa katika ngazi zote za kanisa la TAG Tanzania na Duniani.